Freddie Yule Mbweha Mjaja

Tekst
Loe katkendit
Märgi loetuks
Kuidas lugeda raamatut pärast ostmist
Freddie Yule Mbweha Mjaja
Šrift:Väiksem АаSuurem Aa

Freddie yule Mbweha Mjanja

Na Rotimi Ogunjobi

Aliyetafsiri ni Ephraim Kamau Njoroge

Kuelezea kwa uchoraji imefanyiwa na Ryan Ball


Mfululizo wa Vitabu vya Watoto na Auntie Mimie

Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu ya kitabu hiki inayoruhusiwa kutumiwa au kunakiliwa vyovyote vile bila ruhusa ya mwandishi, isipokuwa tu kwa unakili wa kifupi ulioingizwa kwa uchapaji au kwa jarida muhimu

Utengaji

Kitabu hiki kimetengwa kwa watoto wote wanaohusika katika maisha yangu

Papa Leonardo alikuwa simba pekee kwa msitu. Lakini sasa alikuwa amazeeka na alijua ya kwamba, hivi karibuni ingekuwa vigumu sana kwake kwenda kuwinda ili apate chakula.

“Kama sitaweza kuwinda ili nipate chakula, nitakufa kwa jaa,” akahema kwa uchovu.

Lakini siku moja, alipata wazo la busara na kwa hivyo akawaita wanyama wengine wote pamoja akaongea na wao:

“Nawashukuru nyote kwa kuja na hii inaonyesha ya kwamba mnanipenda na kuniheshimu kama mfalme wenu. Nina hakika mlikuja kwa maana mimi si mfalme wa uovu.”

Olete lõpetanud tasuta lõigu lugemise. Kas soovite edasi lugeda?